samaki wanauzwa |
samaki wakiwa wanauzwa |
Hali inakuwa tata sana kwa wakazi wa Kahama ,ambapo inaonekana fika idara ya afya kushindwa kuwadhibiti wafanyabiashara wa samaki katika maeneo ya biashara .Inaonekana dhahiri mlipuko wa magonjwa yakipindupindu yaweza kutokea wakati wowote kutokana na kutokudhibiti hali ya usafi katika soko dogo wilayani Kahama.
No comments:
Post a Comment
TOA WAZO LAKO