mwenye duka anamuamulu avue nguo zote |
anakimbilia katika tempo ya wahindi |
jamaa anamshushia kichapo |
anakimbia kujiokoa |
baada ya kuvuliwa nguo |
mmoja wa hao wadada wezi alifumaniwa katika duka la nguo hapo uhindini kahama mjini ni baada ya mwenye duka kutoka kwenda duka la pili kuomba chenji dada mwizi aliingia kama umeme na kukomba simu pamoja na pesa laki moja.kwa bahati nzuri kabla hajatoka humo dukani mwenye duka ailfika kafla na kumuuliza kwanini ameingia dukani bila idhini. baada ya mwizi kushindwa kujitetea alishushiwa kichapo ambacho kilisababisha baadhi ya watu kujaa hapo mwenye duka alimuamulu avue nguo zote na kuanza kumsachi alifanikiwa kupata vitu vyote.baada ya hapo alimtoa nje ndipo kundi la wananchi lilipo mvamia nakuanza kumpiga. kama si kukimbilia katika jumba la kuabudia wahindi basi pengine watu wangemuuwa.
No comments:
Post a Comment
TOA WAZO LAKO